Tafadhali subiri..
x

Kuhusu CHAMWAPITA

Chama cha Madereva na Wamiliki wa Pikiki Tanzania


Hiki ni chama kinachowaunganisha madereva na wamiliki wa pikipiki (bodaboda na bajaji) Tanzania. Chama hiki kimesajiliwa na msajili wa vyama vya kiraia chini ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi kwa hati yenye usajili namba S. A 21701.

Ofisi za CHAMWAPITA

Jengo la CCM Mkoa, Room Na. 18, Kata ya Viwandani SLP 510, Dodoma.

Mawasiliano

Simu: +255 716 466 083 (Mwenyekiti)

Simu: +255 652 154 015 (Makamu Mwenyekiti)

Simu: +255 622 783 027 (Katibu)

Simu: +255 62xx xxx xxx (Naibu Katibu)

Uongozi

Michael Haule: Mwenyekiti - Taifa

Keneth Chimoti: Makamu Mwenyekiti - Taifa

Rashidi Salu: Katibu - Taifa

Daudi: Naibu Katibu - Taifa

x

Usajili wa wanachama

x

Bima ya maisha

Mkono wa pole - Kifurushi cha NURU (Watu 6):


Hii ni bima ya maisha inayotoa mkono wa pole kwa mwanachama, familia ya mwanachama ya watu sita (mwanachama, mwenzi wake, na watoto hadi wanne).
Mwanachama akilipia TSh6,000 kwa mwaka atafidiwa kiasi cha TSh1,000,000 kwa mwanafamilia yoyote ambaye atapoteza maisha.
Kiasi hiki cha TSh1,000,000 kitalipwa kwa mwanachama au familia yake kupitia ofisi za CHAMWAPITA zilizoko kwenye mkoa husika.
Bima hii ni kwa ajili ya majanga ya kifo pekee. Hivyo italipwa kwa mwanachama au familia yake pale ambayo mwanachama amepoteza maisha au mmoja wa wanafamilia ya mwanachama amepoteza maisha.
Jumla ya kiwango kitakachotolewa kwa mwanachama au mwanafamilia ya wamachama anapokuwa amepoteza maisha ni kiasi cha TSh1,000,000 tu. Mashari na vigezo vinavyohitajika ni hivi:
  • Mwanachama awe na umri kati ya miaka 18 hadi 65
  • Mwanachama awe kitambulisho cha kura au cha taifa au cheti cha kuzaliwa
  • Mwenza wa mwanachama awe kitambulisho cha kura au cha taifa au cheti cha kuzaliwa
  • Watoto wa mwanachama wawe na cheti cha kuzaliwa
  • Watoto wa mwanachama wanaotambulika ni wale wenye miaka isiyozidi 21
  • Mwanachama awe amesajiliwa kwenye mfumo huu wa CHAMWAPITA na kulipia ada ya kujiandikisha (TSh3,500), ada ya chama ya mwaka (TSh1,000), gharama ya bima ya TSh6,000

Mkono wa pole - Kifurushi cha NURU YA WAZAZI (Watu 10):


Hii ni bima ya maisha inayotoa mkono wa pole kwa mwanachama, familia ya mwanachama ya watu sita (mwanachama, mwenzi wake, na watoto hadi wanne), wazazi wa mwanachama (baba na mama) na wazazi wa mwenza wa mwanachama (wake- baba na mama).
Mwanachama akilipia TSh24,000 kwa mwaka atafidiwa kiasi cha TSh1,000,000 kwa mwanafamilia yoyote ambaye atapoteza maisha.
Kiasi hiki cha TSh1,000,000 kitalipwa kwa mwanachama au familia yake kupitia ofisi za CHAMWAPITA zilizoko kwenye mkoa husika.
Bima hii ni kwa ajili ya majanga ya kifo pekee. Hivyo italipwa kwa mwanachama au familia yake pale ambayo mwanachama amepoteza maisha au mmoja wa wanafamilia ya mwanachama amepoteza maisha.
Jumla ya kiwango kitakachotolewa kwa mwanachama au mwanafamilia ya wamachama anapokuwa amepoteza maisha ni kiasi cha TSh1,000,000 tu. Mashari na vigezo vinavyohitajika ni hivi:
  • Mwanachama awe na umri kati ya miaka 18 hadi 65
  • Mwanachama awe kitambulisho cha kura au cha taifa au cheti cha kuzaliwa
  • Mwenza wa mwanachama awe kitambulisho cha kura au cha taifa au cheti cha kuzaliwa
  • Watoto wa mwanachama wawe na cheti cha kuzaliwa
  • Watoto wa mwanachama wanaotambulika ni wale wenye miaka isiyozidi 21
  • Mwanachama awe amesajiliwa kwenye mfumo huu wa CHAMWAPITA na kulipia ada ya kujiandikisha (TSh3,500), ada ya chama ya mwaka (TSh1,000), gharama ya bima ya TSh24,000

Bima ya chombo cha moto

Bima ya bodaboda:

Bima ya bajaji:

Bima ya elimu

Bima ya elimu kwa watoto:

Bima ya malengo maalumu

Bima ya malengo maalumu ya kimaisha:

x

Leseni ya Udereva

Jipatie leseni ya udereva sasa, utalipia kidogo kidogo:


Endelea kufuatilia hapa hapa, taarifa zaidi zitakujia hivi karibu.

Mafunzo ya Udereva

Jipatie mafunzo ya udereva sasa, utalipia kidogo kidogo:


Endelea kufuatilia hapa hapa, taarifa zaidi zitakujia hivi karibu.
x

Mafunzo ya Udereva

Jipatie mafunzo ya udereva sasa, utalipia kidogo kidogo:


Endelea kufuatilia hapa hapa, taarifa zaidi zitakujia hivi karibu.
x Matangazo
Hakuna Matangazo kwa sasa


x

Wasiliana nasi

Kama una swali au unahitaji msaada wowote tafadhali wasiliana nasi:


Mitandao ya kijamii:


x

Ingia ndani ya mfumo

Tafadhali ingiza namba yako ya uwanachama na neno lako la siri ili uweze kufurahia huduma zingine zitolewazo ndani ya mfumo wa CHAMWAPITA.